Wasuba (Kenya)

Wasuba (au Abasuba, jinsi wanavyojiita katika lugha yao) ni kabila la watu nchini Kenya wanaoongea lugha ya Kisuba japo wengi wao huongea Kijaluo.

Kwa hakika jina 'Suba' nchini Kenya hutumika kurejelea makundi matatu tofauti ya watu wanaoishi kusini magharibi mwa Kenya katika eneo la Nyanza Kusini, nayo ni Suba (Abasuba), Irienyi (Abirienyi) na Kunta (Abakunta).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search